Mtwara
MTWARA KUCHELE
MTWARA RS
FUATILIA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU MKOA WA MTWARA NA SEHEMU NYINGINE NDANI NA NJE YA TANZANIA, KWA MAWASILIANO E-mail: yustace.evaristy@mtwara.go.tz SIMU: +255 717 697 205
Thursday 28 February 2019
Tuko Tayari kutatua changamoto za wananchi. - Jaji Mkuu Tanzania
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa akizungumza na mgeni wake Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa
Ibrahim Hamis Juma alipomtembelea ofisini kwake leo Februali 28, 2019.
Jaji Mkuu amemhakikishia Mhe. Mkuu wa Mkoa kuwa Mhimili wa mahakama umejipanga kuhakikisha
unatatua changamoto zote zinazowakabili wananchi katika kupata huduma bora za mahakama.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment