Mheshimiwa Byakanwa akikabidhi fedha shilingi milioni 4,600,000 Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Mtwara, Athuman Kambi kama motisha kwa wachezaji. Fedha hizo amezitoa yeye pamoja na wadau wa michezo wakiwamo waheshimiwa wabunge wa mkoa wa Mtwara, Abdul Palango ambaye ni Katibu Tawala Wilaya ya Nanyumbu, na mdau mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Nchia. Lengo ni kuhakikisha ushindi unapatikana.
Mheshimiwa Byakanwa akimkabidhi Kapteini wa Timu ya Ndanda Jacob Masawe fedha taslimu shilingi 50,000 kutokana na hali ya kujituma ambayo ameionesha katika kipindi chote cha Ligi.
Ayub Masoud akipokea zawadi ya fedha taslimu kutokana na nidhamu ambayo ameionyesha akiwa ndani na nje ya uwanjaMheshimiwa Byakanwa akisaini T-shirt ya mchezaji Jabil Aziz maarufu kama Stima
No comments:
Post a Comment