MTWARA RS

FUATILIA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU MKOA WA MTWARA NA SEHEMU NYINGINE NDANI NA NJE YA TANZANIA, KWA MAWASILIANO E-mail: yustace.evaristy@mtwara.go.tz SIMU: +255 717 697 205

Tuesday 28 February 2017

RC Mtwara aagiza kuchukuliwa hatua waliogeuza mitaro kuwa dampo

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Halima Dendego ameagiza kuchukuliwa hatua za kisheria viongozi na wafanya bishara wa vijiji vya Mwenge A na Mwenge B vilivyoko kata ya Kitama Wilayani Tandahimba. Dendego amechukua hatua hiyo kufuatia uchafuzi wa mazingira alioushuhudia akitokea katika zoezi la Usafi wa jumamosi ya mwisho wa mwezi Februari 2017 Lililokuwa likifanyika Kimkoa mjini Tandahimba.

Tazama tukio zima kwa kubonyeza video hapa chini

No comments:

Post a Comment