Waziri kalemani; tatizo la Umeme Mtwara na Lindi sasa basi
Kumekuwepo na tatizo la upatikanaji wa Umeme kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara kutokana na uchakavu wa miundombinu ya kituo kinachozalisha umeme huo kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Sasa tatizo hilo limepatiwa Ufumbuzi baada ya mitambo iliyokuwa na matatizo kutengenezwa. Msikilize Waziri wa Nishati Mhe. Medard Kalemani katika ziara yake aliyoifanya Mkoani hapa jana.
No comments:
Post a Comment