Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani amesema vijiji vyote vya mkoa wa Mtwara utafikiwa na umeme katika awamu mbili zinazofuata.
amesema umeme huo utapita kila kijijiji, kila Mtaa na kila mji. hayo amesema
leo wakati akihutubia wanancghi wa kijiji cha Milamba kilichoko Wilayani. Msikilize Mheshiwa waziri hapa.
No comments:
Post a Comment