MTWARA RS

FUATILIA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU MKOA WA MTWARA NA SEHEMU NYINGINE NDANI NA NJE YA TANZANIA, KWA MAWASILIANO E-mail: yustace.evaristy@mtwara.go.tz SIMU: +255 717 697 205

Wednesday 15 March 2017

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Uzinduzi wa Ofisi za NMB Kanda ya Kusi...

Wakati akizindua Benki ya NMB kanda ya Kusini iliyoko barabara ya TANROAD
karibu na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli alionesha
kufurahishwa na kazi nzuri ya Benki hii na kuzitaka Benki nyingine ziige mfano
wake.


Katika mengi aliyoyataja ni pamoja na kuzitaka Benki zote nchini zijikite katika kufanya biashara na watanzania. Aidha zisaidie kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa watanzania.

Kutoakana na kazi nzuri ya NMB na faida inayoiingizia serikali alimuagiza Gavana wa Benki Kuu kutoa muongozo kwa Taasisi za Serikali kuitumia Benki hii. 

Hii hapa  Hotuba Nzima ya Mheshimiwa Rais.

No comments:

Post a Comment