MTWARA RS

FUATILIA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU MKOA WA MTWARA NA SEHEMU NYINGINE NDANI NA NJE YA TANZANIA, KWA MAWASILIANO E-mail: yustace.evaristy@mtwara.go.tz SIMU: +255 717 697 205

Tuesday 10 February 2015

Leo tarehe 10, Februari 2015 kulikuwa na kikao kilichohusu mjadala wa Master plan ya mji wa Mtwara. kikao hiki kilijumuisha viongozi wa Sekretariet ya Mkoa, pamoja Consultants kutoka Afrika Kusini ambao ndio wamepewa jukumu la kuandaa master Plan ya mji wa Mtwara.

Lengo kuu ya mkutano huo ilikuwa ni kupitiua Status Quo Report ya master Plan ambayo kimsingi kabisa ni dira ya kuonyesha master plan itakuwa vipi.


No comments:

Post a Comment