MTWARA RS

FUATILIA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU MKOA WA MTWARA NA SEHEMU NYINGINE NDANI NA NJE YA TANZANIA, KWA MAWASILIANO E-mail: yustace.evaristy@mtwara.go.tz SIMU: +255 717 697 205

Thursday 28 November 2019

DC Newala Akabidhi Vifaa Vya Ujenzi kwa Shule za Msingi na Sekondari


Mkuu wa Wilaya ya Newala Mhe. Aziza Mangosongo akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Kiuta, Abdullah Chikoya (kulia) vifaa vya ujenzi wa vyoo vya walimu na wanafunzi katika shule hiyo. Vifaa hivyo vimepatikana kupitia kampeni ya 'Shule ni Choo' iliyoanzishwa na Mkuu wa Mkoa Mhe. Gelasius Byakanwa Ikilenga kuondoa changamoto ya matundu ya choo kwa shule za msingi na sekondari mkoani Mtwara. Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Daniel Zenda.


Mheshimiwa Mangosongo akikabidhi mabomba
Mhe. Mangosongo akipitia nyaraka na taarifa muhimu ili kuhakikisha mgao unafanyika kwa haki

No comments:

Post a Comment