Mamlaka ya Hali ya
Hewala Kanda ya Kusini imewathadharisha wakazi wa mkoa wa MTWARA kuchukua
tahadhari dhidi ya kimbunga KENETH kinachotarajiwa kutokea hapo kesho kuanzia
majira ya asubuhi.
Meneja wa Mamlaka ya
Hali ya Hewa kanda ya kusini ADAM ALMASI amesema kimbunga hicho kitaanzia
upande wa bahari kuelekea nchini kavu na kutoa wito kwa wakazi wa MTWARA
wanaoishi mabondeni na kando kando ya bahari kuhama kwa muda.
No comments:
Post a Comment