Ni baada ya Mwenyekiti huyo Kumpokea RC ambaye aliandamana na Brigedia Jenerali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania Kanda ya Kusini Brigedia George Msongole katika Hafla fupi ambayo jeshi hilo lilitarajia kutoa msaada wa ujenzi wa shule ya kijiji cha Pachani Wilayani Nayumbu kilichokuwa kikiongozwa na Mwenyekiti huyo.
No comments:
Post a Comment