MTWARA RS

FUATILIA TAARIFA MBALIMBALI ZINAZOHUSU MKOA WA MTWARA NA SEHEMU NYINGINE NDANI NA NJE YA TANZANIA, KWA MAWASILIANO E-mail: yustace.evaristy@mtwara.go.tz SIMU: +255 717 697 205

Thursday, 18 May 2017

Serikali yawajengea nyumba walimu



Mwenge wa Uhuru umeendelea kumulika mkoa wa Mtwara, jana ulitembelea shule ya sekondari Tandahimba. hii ni shule ambayo ilifanya vizuri matokeo ya kidato cha sita 2016 na kuwa ya kumi kitaifa. Serikali ilifurahishwa na jitihada hizo na kuahidi kutatua changamioto ya walimu. Mwenge wa Uhuru 2017 umepita na kuangaza nyumba hizo sita zinazojengwa  kwa ajili ya familia za walimu 6. 

No comments:

Post a Comment